-
UtatuKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
New Catholic Encyclopedia hueleza hivi: “Maneno ‘Mungu mmoja katika Watu watatu’ hayakuthibitishwa imara, nayo hayakuwa sehemu kamili ya maisha ya Wakristo na imani yao, kabla ya mwisho wa karne ya 4. Lakini ni maneno hayo hasa ambayo yalianza kuitwa kwanza fundisho la Utatu. Kati ya Mababa wa Kimitume, hakukuwa na jambo lolote linalokaribia hata kidogo mawazo au maoni hayo.”—(1967), Buku la 14, uku. 299.
-
-
UtatuKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
New Catholic Encyclopedia hukubali hivi: “Maandiko mengi ya A[gano] J[ipya] huonyesha roho ya Mungu kuwa kitu, wala si mtu; jambo hilo linaonekana hasa kutokana na ulinganifu uliopo kati ya roho na nguvu za Mungu.” (1967, Buku la 13, uku. 575) Pia inasema hivi: “Watetea-Imani [waandikaji Wakristo wa Kigiriki wa karne ya pili] walisema kwa kusita-sita mno juu ya Roho; kwa kufikiria mambo yaliyotukia baadaye, mtu anaweza kusema kwamba walisema bila kuonyesha ni mtu.”—Buku la 14, uku. 296.
-