Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • uaminifu [“ukweli,” “NW”] wake ni ngao na kigao.” (Zaburi 91:4)

  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • 8. “Ukweli” wa Yehova unakuwa ngao kubwa na kigao jinsi gani?

      8 Sisi hutumaini “ukweli,” au uaminifu. Ukweli huo ni kama ngao ya kale iliyokuwa kubwa vya kutosha kufunika mwili wote, na ambayo kwa kawaida ilifanana na mlango. (Zaburi 5:12) Uhakika wa kupata ulinzi kama huo hutuondolea hofu. (Mwanzo 15:1; Zaburi 84:11) Kama imani yetu, ukweli wa Mungu ni ngao kubwa inayotukinga na vishale vinavyowaka moto vya Shetani na vilevile mapigo ya adui. (Waefeso 6:16)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki