Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Uganda
    2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Gray na Olga Smith waliamua kukaa Tanganyika (ambako leo ni Tanzania), naye Robert na George Nisbet wakaelekea Nairobi, Kenya. Baadaye, serikali ya kikoloni ilipomwamuru Ndugu na Dada Smith waondoke Tanganyika, walifunga safari hadi Kampala, Uganda. Hata hivyo wakati huo hali haikuwa nzuri, nao polisi mjini Kampala walikuwa wakifuatia nyendo zao. Licha ya hayo, kwa muda wa miezi miwili tu, Ndugu na Dada Smith waligawa vitabu na vijitabu 2,122 na kufanya mikutano ya watu wote mara sita. Hata hivyo, baadaye gavana akatoa amri ya kuwafukuza nchini nao wakalazimika kuondoka Uganda.

  • Uganda
    2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Picha katika ukurasa wa 71]

      George na Robert Nisbet na Gray na Olga Smith wakiwa na magari yao kwenye chelezo tayari kuvuka mto

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki