-
Uganda2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Kutaniko la Jinja lilifurahi kuona idadi ya wahubiri ikiongezeka mara tatu,
-
-
Uganda2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
“Kulikuwa na ongezeko kubwa sana,” akumbuka mzee mmoja wa kutaniko la Jinja, “hivi kwamba tukawa tukijiuliza wahubiri wote hao wapya wanatoka wapi. Kwa muda, tulilazimika kupanga wakati kila Jumapili ili kukutana na wale wanaotaka kuwa wahubiri.”
-