-
Uganda2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Muda usio mrefu baadaye, kutaniko hilo jipya lilianza kuzaa matunda, na kufikia mwaka wa utumishi wa 1954 kulikuwa na wahubiri kumi.
-
-
Uganda2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mwaka wa 1958 wahubiri wakaanza kutumia kijitabu “Habari Njema Hizi za Ufalme” kilichokuwa kimetafsiriwa karibuni. Hilo lilikuwa jambo lenye kutia moyo kama nini! Kazi ilisonga mbele na katika mwaka wa 1961, kulikuwa na kilele kipya cha wahubiri 19.
-