-
Makao Makuu ya Ulimwengu na Ofisi ya Tawi Makuu ya Mashahidi wa YehovaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
MAKAO MAKUU YA ULIMWENGU YA MASHAHIDI WA YEHOVA
[Picha katika ukurasa wa 352, 353]
Utendaji wa duniani pote wa Mashahidi wa Yehova umeelekezwa kutoka Brooklyn, New York, Marekani, tangu 1909. Majengo haya yamekuwa ofisi za makao makuu tangu 1980
-
-
Makao Makuu ya Ulimwengu na Ofisi ya Tawi Makuu ya Mashahidi wa YehovaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 353]
Baadhi ya majengo ya makao ya maelfu wanaotumikia kwenye makao makuu ya ulimwengu
[Picha katika ukurasa wa 354]
Zile zilizokuwa hoteli katika Brooklyn zimerekebishwa ili kuandaa nafasi kwa ajili ya wafanyakazi wa kujitolea 1,476 zaidi
-