-
Mikusanyiko Uthibitisho wa Udugu WetuMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Mkusanyiko mwingine tena wenye kufanyiza historia ulifanywa Columbus, Ohio, katika 1931. Jumapili, Julai 26, baada ya Wanafunzi wa Biblia kusikia hoja za Kimaandiko walikubali jina jipya—Mashahidi wa Yehova. Lilifaa kama nini! Hapa palikuwa na jina ambalo huelekeza uangalifu wa kwanza kwa Muumba mwenyewe na ambalo hutambulisha daraka la wale wamwabuduo. (Isa. 43:10-12)
-
-
Mikusanyiko Uthibitisho wa Udugu WetuMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 262, 263]
Wajumbe kwenye mkusanyiko wa 1931 katika Columbus, Ohio, ambao kwa idili walikubali jina Mashahidi wa Yehova
-