-
Wamishonari Wasukuma Mpanuko wa Ulimwenguni PoteMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kulikuwa na uhitaji wa haraka wa wanaume Wakristo wenye ujuzi wa kutumikia wakiwa wachungaji wa kiroho na walimu, na pia kuchukua uongozi katika kazi ya kueneza evanjeli. Ili kusaidia kujazia uhitaji huo, katika 1987 Baraza Linaloongoza lilianzisha Shule ya Mazoezi ya Kihuduma ikiwa sehemu ya programu ya Shule ya Gileadi ya elimu ya Biblia.
-
-
Wamishonari Wasukuma Mpanuko wa Ulimwenguni PoteMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 545]
Shule ya Mazoezi ya Kihuduma
Darasa la kwanza, Coraopolis, Pa., Marekani, katika 1987 (juu)
-