-
Washiriki Wapya wa Baraza LinaloongozaMnara wa Mlinzi—2000 | Januari 1
-
-
Washiriki Wapya wa Baraza Linaloongoza
MNAMO Jumamosi, Oktoba 2, 1999, Mkutano wa Kila Mwaka wa Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania ulimalizika kwa tangazo ambalo halikutarajiwa. Watu 10,594 waliohudhuria au waliosikiliza kupitia simu walisisimka kusikia kwamba washiriki wapya wanne walikuwa wameongezwa kwenye Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova. Washiriki hao wapya, wote Wakristo watiwa-mafuta, ni Samuel F. Herd; M. Stephen Lett;
-
-
Washiriki Wapya wa Baraza LinaloongozaMnara wa Mlinzi—2000 | Januari 1
-
-
• Stephen Lett alianza upainia Desemba 1966, na tokea 1967 hadi 1971, alitumikia katika Betheli kule Marekani. Mnamo Oktoba 1971, alioa mke wake, Susan, wakaanza utumishi wa painia wa pekee. Akawa mwangalizi wa mzunguko tokea 1979 hadi 1998. Tangu Aprili 1998, yeye na Susan wamekuwa washiriki wa familia ya Betheli ya Marekani. Huko alitumikia katika Idara ya Utumishi na alikuwa msaidizi wa Halmashauri ya Kufundisha.
-