-
Mikusanyiko Uthibitisho wa Udugu WetuMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 274]
Grant Suiter, mwenyekiti wa mkusanyiko katika Yankee Stadium katika 1950
-
-
Mikusanyiko Uthibitisho wa Udugu WetuMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kichwa cha mkusanyiko kilikuwa “Ongezeko la Theokrasi.” Uangalifu ulielekezwa kwenye ongezeko kubwa la idadi. Hata hivyo, kama vile mwenyekiti, Grant Suiter, alivyoonyesha kwa mkazo, hilo halikufanywa ili kusifu watu wenye akili sana katika tengenezo lionekanalo. Bali, alijulisha: “Yehova ndiye wa kusifiwa kwa ajili ya idadi hiyo kubwa. Yapaswa kuwa hivyo, nasi hatungetaka iwe vingine.”
-