-
“Endeleeni Kutembea Katika Upendo”Mkaribie Yehova
-
-
hauweki hesabu ya ubaya.’
-
-
“Endeleeni Kutembea Katika Upendo”Mkaribie Yehova
-
-
Lakini hata tukiwa na sababu nzuri ya kukasirika, hatutaendelea kuchokozeka ikiwa tuna upendo. (Waefeso 4:26, 27) Hatutaweka hesabu ya maneno au matendo yenye kuumiza kana kwamba tunayaandika katika kitabu ili tusiyasahau. Badala yake, upendo unatuchochea kumwiga Mungu wetu mwenye upendo. Kama tulivyoona katika Sura ya 26, Yehova husamehe kunapokuwa na sababu nzuri ya kufanya hivyo. Yeye husamehe na kusahau, yaani, hatuadhibu baadaye kwa sababu ya dhambi hizo. Je, hatushukuru kwamba Yehova haweki hesabu ya ubaya?
-