-
Wapende Wale Ambao Mungu Anawapenda“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
-
-
2 Biblia inataja ukweli huu ulio wazi: “Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima, lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.” (Methali 13:20) Methali hiyo haizungumzi kuhusu kukutana na watu mara kwa mara tu. Maneno ‘kutembea na’ yanaonyesha urafiki unaoendelea.a Kitabu kimoja kinachozungumzia Biblia kinasema hivi kuhusu mstari huo: “Kutembea na mtu kunahusisha kumpenda na kushikamana naye.” Je, hukubali kwamba tuna mwelekeo wa kuwaiga watu tunaowapenda? Kwa kweli, kwa sababu tunashikamana sana na watu tunaowapenda, wanaweza kuwa na uvutano juu yetu—mzuri au mbaya.
-
-
Wapende Wale Ambao Mungu Anawapenda“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
-
-
a Neno la Kiebrania linalotafsiriwa ‘kushirikiana na’ linaweza pia kutafsiriwa ‘kuwa mwenzi wa,’ au ‘kufanya urafiki.’—Waamuzi 14:20; Methali 22:24, Verbum Bible.
-