-
Jinsi Yehova Anavyotumia Roho Takatifu Kutimiza Kusudi LakeMnara wa Mlinzi—2010 | Aprili 15
-
-
Kwa miaka mingi, gazeti hili limetumiwa na “mtumwa mwaminifu na mwenye busara” kuwa njia kuu ya kufunua kweli za Biblia hatua kwa hatua. (Mt. 24:45)
-
-
Jinsi Yehova Anavyotumia Roho Takatifu Kutimiza Kusudi LakeMnara wa Mlinzi—2010 | Aprili 15
-
-
[Sanduku katika ukurasa wa 10]
Je, Unaenda Sambamba na Nuru Inayoongezeka?
Yehova anaendelea kuwaangazia watu wake nuru. Ni marekebisho gani ambayo yamechapishwa katika gazeti la Mnara wa Mlinzi?
▪ Mfano wa Yesu wa chachu unakazia jambo gani linalofaa kuhusu ukuzi wa kiroho? (Mt. 13:33)—Julai 15, 2008 (15/7/2008), ukurasa wa 19-20.
▪ Wakristo wataacha kupata mwito wa tumaini la kimbingu wakati gani?—Mei 1, 2007 (1/5/2007), ukurasa wa 30-31.
▪ Inamaanisha nini kumwabudu Yehova “kwa roho”? (Yohana 4:24) —Julai 15, 2002, ukurasa wa 15.
▪ Umati mkubwa unatumika katika ua gani? (Ufu. 7:15)—Mei 1, 2002, ukurasa wa 30-31.
▪ Kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi kunatukia wakati gani? (Mt. 25:31-33)—Oktoba 15, 1995 (15/10/1995), ukurasa wa 18-28.
-