Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Neno la Yehova Laendelea Kusonga Mbele Kasi (1976-1992)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Ili kufundisha kweli juu ya Ufalme wa Yehova kwa wale ambao hawajui kusoma na kuandika au ambao hawasomi vizuri sana, broshua ya kurasa 32 Furahia Milele Maisha Duniani! ilitolewa katika 1982. Kufikia 1992, nakala zaidi ya 76,000,000 zilikuwa zimechapwa, na ilikuwa ikigawanywa katika lugha 200 kote ulimwenguni, hilo likiifanya kuwa kichapo chenye kutafsiriwa zaidi ya vyote cha Watch Tower Society.

  • Neno la Yehova Laendelea Kusonga Mbele Kasi (1976-1992)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Baraza Linaloongoza lilipendezwa sana kufikia watu wengi zaidi kadiri ilivyowezekana kwa ujumbe wa Ufalme—watu “wa kila taifa, na kabila, . . . na lugha.” (Ufu. 7:9) Kwa kusudi hilo, mipango ilifanywa ya kutafsiri fasihi katika lugha nyingi zaidi. Kwa kielelezo, kutoka 1976 hadi 1992, kulikuwa ongezeko la asilimia 42 hivi katika hesabu ya lugha ambazo katika hizo gazeti Mnara wa Mlinzi lilitokezwa. Katika Oktoba 1992, hesabu hiyo ilikuwa 111. Ili kufanya iwezekane kutafsiri haraka, mwaka huohuo watafsiri zaidi ya 800 kote ulimwenguni walikuwa wakishiriki katika kazi hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki