-
Kuzaliwa Upya—Jinsi Gani?Mnara wa Mlinzi—2009 | Aprili 1
-
-
Yesu alimaanisha nini alipotaja maji? Angalia matukio yanayotangulia na yanayofuata mazungumzo ya Yesu na Nikodemo. Yanaonyesha kwamba Yohana Mbatizaji na wanafunzi wa Yesu walibatiza kwa maji. (Yohana 1:19, 31; 3:22; 4:1-3) Ubatizo huo ulijulikana sana huko Yerusalemu. Kwa hiyo, Yesu alipotaja maji, Nikodemo alitambua kwamba alikuwa akizungumza kuhusu maji ya ubatizo bali si maji tu kwa ujumla.a
-
-
Kuzaliwa Upya—Jinsi Gani?Mnara wa Mlinzi—2009 | Aprili 1
-
-
a Vivyo hivyo, pindi moja mtume Petro alisema hivi kuhusu watu waliotaka kubatizwa: “Je, mtu yeyote anaweza kuyakataza maji?”—Matendo 10:47.
-