-
“Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua”Mnara wa Mlinzi—2010 | Machi 15
-
-
Kwa njia halisi, magugu ambayo Yesu alizungumzia huenda yalikuwa magugu fulani yenye sumu ambayo yanafanana sana na ngano ambayo haijakomaa.
-
-
“Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua”Mnara wa Mlinzi—2010 | Machi 15
-
-
Wanafunzi wa Yesu wangeona hekima ya kutii amri hiyo. Walijua kwamba ni vigumu kutofautisha ngano na yale magugu yenye sumu yanayofanana kabisa na ngano. Wanafunzi waliojua mambo ya ukulima walitambua pia kwamba kwa kawaida mizizi ya magugu hayo inaingia katikati ya mizizi ya ngano.c
-
-
“Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua”Mnara wa Mlinzi—2010 | Machi 15
-
-
c Mizizi ya magugu hayo yenye sumu inaingia kabisa katikati ya mizizi ya ngano, hivi kwamba mtu aking’oa magugu hayo kabla ya wakati wa kuvuna atang’oa pia ngano.—Ona Insight on the Scriptures, Buku la 1, ukurasa wa 1178 au Étude perspicace des Écritures, Buku la 1, ukurasa wa 836.
-