-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Wenzi wengine wa ndoa kutoka Australia waliosadia katika miaka hiyo ya kwanza-kwanza, ni Bill na Marjorie (Girlie) Moss. Bill, mzee wa kutaniko mwenye ujuzi, na Girlie, aliyekuwa amefanya upainia kwa miaka 24, walifika Apia mwaka wa 1956. Wakati huo kulikuwa na wahubiri 28 katika Kutaniko la Apia. Pia kulikuwa na mafunzo ya kitabu Apia na Faleasiu. Kwa miaka tisa iliyofuata, Bill na Girlie walifanya kazi bega kwa bega na kutaniko. Kufikia wakati ambapo afya ya Girlie ilipokuwa mbaya hivi kwamba wakalazimika kurudi Australia mwaka wa 1965, kikundi cha Faleasiu tayari kilikuwa kutaniko.
-
-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 85]
Girlie na Bill Moss wakiwa njiani kuelekea Samoa
-