-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Wahubiri wachache hivyo katika nchi hiyo wangewezaje kuwapa makao wageni wengi hivyo? “Hatukuwa na shida kupata makao kwa ajili ya idadi hiyo kubwa ya wajumbe,” asema Fred Wegener. “Wenyeji wa eneo hilo ni wakarimu nao walikuwa tayari kuwapokea akina ndugu, jambo ambalo liliwaudhi sana viongozi wa kidini.”
-
-
Samoa2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
“Kiwanja hicho kilikuwa chini ya usawa wa bahari,” asema Fred Wegener, “kwa hiyo, kwa miezi mitatu, kutaniko lilifanya kazi ngumu sana ya kukusanya mawe ili kuinua msingi wa jengo.”
-