-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle; naam, njoni, nunueni divai na maziwa, bila fedha na bila thamani.” (Isaya 55:1)
-
-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
6. Wayahudi watapataje faida wakinunua “divai na maziwa”?
6 Vilevile, Yehova anawatolea “divai na maziwa.” Maziwa hufanya watoto wapate nguvu na kukua. Vivyo hivyo, maneno ya Yehova yatawatia watu wake nguvu za kiroho na kuwawezesha kuimarisha uhusiano wao naye. Namna gani divai? Mara nyingi divai hutumiwa nyakati za sherehe. Katika Biblia, inahusianishwa na ufanisi na shangwe. (Zaburi 104:15) Kwa kuwaambia watu wake ‘wanunue divai,’ Yehova anawapa uhakikisho kwamba ‘watafurahi kabisa,’ wakiirudia ibada ya kweli kwa moyo wote.—Kumbukumbu la Torati 16:15; Zaburi 19:8; Mithali 10:22.
-