-
“Yehova Anataka Nini Kutoka Kwako?”Izingatie Siku ya Yehova Maishani
-
-
21, 22. (a) Ni mazoea gani ya kuwasiliana na pepo yaliyo ya kawaida katika eneo lenu? (b) Kwa nini watumishi waaminifu wa Yehova hawajihusishi na mazoea ya kuwasiliana na pepo?
21 Leo watu fulani hufikiri kwamba roho waovu wanaotajwa katika Maandiko si halisi bali wanawakilisha tu hali ya uovu. Hata hivyo, Biblia inafunua kwamba roho waovu ni halisi na ndio wanaoongoza unajimu, uchawi, na mambo fulani ya mizungu. (Matendo 16:16-18; 2 Petro 2:4; Yuda 6)
-
-
“Yehova Anataka Nini Kutoka Kwako?”Izingatie Siku ya Yehova Maishani
-
-
Unaweza kuwa na uhakika kwamba Mungu hawasiliani kamwe kupitia pepo au kutumia uchawi ili kufunua mapenzi yake au kuonyesha nguvu zake. Badala yake, kama andiko la Amosi 3:7 linavyotuhakikishia, Yehova ‘huwafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.’
Ni lazima watumishi wa Mungu waepuke kabisa mazoea ya kuwasiliana na pepo
-