-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
11. Makundi leo yanasaidiwa jinsi gani yakae macho ili yaone upenyezi wa uvutano wa kike usio halali?
11 Kwa furaha, yaliyo mengi ya makundi ya Mashahidi wa Yehova leo yako macho kuona hatari hii. Wazee wanalinda waone miendo ya mielekeo isiyo ya kitheokrasi na utendaji makosa. Wanajaribu kusaidia wanaume na wanawake walio katika njia ya hatari ili hao wajenge hali ya kiroho na kurekebishwa kabla haijawa kuchelewa mno. (Wagalatia 5:16; 6:1) Kwa upendo na kwa uthabiti, waangalizi hawa Wakristo wanazuia jitihada yoyote ya kike ya kufanyiza vikundi vikundi vya kuendeleza miendo kama ile ya ukombozi wa wanawake. Zaidi ya hilo, pindi kwa pindi shauri la wakati wenye kufaa linatolewa katika vichapo vya Mashahidi wa Yehova.a
-