Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, ni lazima ufunge ndoa ili uwe na furaha?
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Oktoba 1
    • Kulingana na simulizi la kitabu cha Mwanzo, Mungu aliona kwamba haikuwa “vema” kwa mwanamume wa kwanza Adamu kukaa peke yake. Hivyo Mungu akamuumba Hawa ili awe “kikamilisho” cha Adamu. (Mwanzo 2:18) Neno “kikamilisho” linamaanisha kitu kinachofanya kitu kingine kiwe kamili.

  • Je, ni lazima ufunge ndoa ili uwe na furaha?
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Oktoba 1
    • Ingawa alikusudia ndoa iwe chanzo cha shangwe, urafiki wa karibu, na faraja kifungo hicho kimetimiza pia daraka muhimu katika kutimizwa kwa sehemu fulani za kusudi lake. Kwa mfano, Mungu alikusudia Adamu na Hawa ‘wazae, wawe wengi, na wajaze dunia.’ (Mwanzo 1:28) Adamu wala Hawa hangeweza kutimiza kusudi hilo akiwa peke yake. Badala yake, kila mmoja alimhitaji mwenzake na walikamilishana kwa njia ya kipekee.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki