-
Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo (Kinshasa)2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
Mnamo Desemba 1999, makao mapya ya mishonari yalifunguliwa jijini Kinshasa. Mishonari 12 wanaishi katika makao hayo. Jiji la Lubumbashi limekuwa na makao ya mishonari tangu 1965. Makao mengine yalifunguliwa jijini humo mwaka wa 2003. Hivi sasa, wenzi wanne wa ndoa wanaishi kwenye makao hayo. Mnamo Mei 2002, makao mapya ya mishonari yalifunguliwa huko Goma, upande wa mashariki wa nchi. Mishonari wanne walitumwa huko. Mishonari hao wanaendelea kusaidia sana katika shamba hili kubwa lenye ongezeko.
-
-
Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo (Kinshasa)2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
[Picha katika ukurasa wa 243]
Mishonari 12 wanaishi katika makao haya jijini Kinshasa
-