Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo (Kinshasa)
    2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
    • Mabadiliko Katika Usimamizi wa Ofisi ya Tawi

      Ili kushughulikia mahitaji ya eneo, mabadiliko yalihitaji kufanywa katika Halmashauri ya Tawi. Baraza Linaloongoza lilifanya mabadiliko hayo Mei 1996. Sébastien Johnson aliteuliwa kuwa mratibu wa Halmashauri ya Tawi Mei 20, 1996. Halmashauri ya Tawi ambayo ilisimamia kazi ilikuwa na ndugu wawili tu, Sébastien Johnson na Peter Ludwig, ambaye alikuwa ameteuliwa miezi miwili awali. Miaka iliyofuata, wengine waliteuliwa: David Nawej, Christian Belotti, Benjamin Bandiwila, Peter Wilhjelm, Robert Elongo, Delphin Kavusa, na Uno Nilsson. Kwa sababu ya matatizo ya kiafya, Peter Ludwig na mkewe, Petra, walilazimika kurudi Ujerumani ambako sasa wanafanya kazi kwenye ofisi ya tawi.

      Ndugu wa Halmashauri ya Tawi wanajitahidi sana kutoa mwelekezo wa kitheokrasi katika eneo lote.

  • Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Kongo (Kinshasa)
    2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
    • [Picha katika ukurasa wa 254]

      Halmashauri ya Tawi, kuanzia kushoto hadi kulia: Peter Wilhjelm, Benjamin Bandiwila, Christian Belotti, David Nawej, Delphin Kavusa, Robert Elongo, Sébastien Johnson, na Uno Nilsson

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki