Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Katika 1961 msimamizi Shahidi aliyestahili, Ernest Heuse, Jr., kutoka Ubelgiji, hatimaye aliweza kuingia nchini. Kwa bidii nyingi yenye kuendelea, iliwezekana kusaidia akina ndugu hatua kwa hatua wapatanishe kwa ukamili zaidi makutaniko na maisha yao na Neno la Mungu. Kulikuwa mengi ya kujifunza, na ilitaka saburi nyingi.

      Wakifikiri kwamba wangejipatia kibali, washiriki wa Kitawala kutoka maeneo fulani walipeleka orodha ndefu ya watu wao waliotaka kutambuliwa kuwa Mashahidi wa Yehova. Kwa hekima, Ndugu Heuse alituma ndugu wenye kustahili kwenye maeneo hayo wapate kujua walikuwa watu wa namna gani. Badala ya kukubali vikundi vikubwa, waliongoza mafunzo ya Biblia na watu mmoja-mmoja.

  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Picha katika ukurasa wa 483]

      Katika 1961, Ernest Heuse, Jr., akiwa na familia yake, aliweza kuingia Zaire (wakati huo iliitwa Kongo) kusaidia kutoa maagizo ya kiroho kwa wale waliotaka kikweli kumtumikia Yehova

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki