-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mkimbizi mmoja anayeitwa Manda Ntompa, anasema: “Tulifurahia sana kukaribishwa kwa upendo. Ndugu wenyeji walipotambua kwamba sisi ni Mashahidi wa Yehova walitukaribisha kwao. Kama yule mjane wa Sarefathi, ndugu hao walitugawia chakula kidogo walichokuwa nacho.”
-
-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 193]
Kulia: Manda Ntompa na familia yake kwenye kambi ya wakimbizi ya Mwange, 2001
-