-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Katika 2004, ujenzi wa jengo jipya la makazi lenye orofa nne zenye vyumba 32 ulikamilika. Eneo lenye ukubwa wa meta 1,000 hivi za mraba katika kiwanda cha uchapaji limerekebishwa. Eneo hilo sasa lina ofisi 47 za tafsiri, sehemu ya kuhifadhi faili, vyumba vya mikutano, na maktaba.
-
-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 251]
Wafanya kazi wenye shangwe wakijenga ofisi ya tawi ya sasa huko Lusaka
[Picha katika ukurasa wa 252, 253]
(1, 2) Majumba ya Ufalme yaliyojengwa hivi karibuni
(3, 4) Ofisi ya tawi ya Zambia, Lusaka
(5) Stephen Lett wakati wa kuwekwa wakfu kwa majengo mapya ya ofisi ya tawi mnamo Desemba 2004
-