-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Utumishi wa Wamishonari
Ian (John) Fergusson, aliyetumika kwa miaka mingi huko Zambia anasema: “Mojawapo ya mambo yenye kupendeza sana kuhusu umishonari ni kuona jinsi Yehova anavyowatumia wanaume na wanawake wa aina zote kutimiza kusudi lake. Inafurahisha pia kuona uthamini wa wale wanaopokea msaada wa kiroho.”
-
-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Wamishonari Kutoka Gileadi Wawasili
Katika 1948, wamishonari wawili, yaani, Harry Arnott na Ian Fergusson, waliwasili Zambia. Waliwahubiria hasa maelfu ya Wazungu waliohamia eneo hilo ili kuchimbua shaba. Walipata matokeo mazuri sana. Mwaka huo idadi ya Mashahidi wa habari njema iliongezeka kwa asilimia 61.
-