-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Richard Frudd, ambaye ni mmoja wa walimu anasema: “Tunakazia sana umuhimu wa mtu kuwa mnyenyekevu na kutojifikiria sana kuliko ilivyo lazima. Tunawasaidia wanafunzi wawe wakomavu, wenye huruma, na uwezo wa kukabiliana na hali ngumu na bado wawe na furaha. Ndugu wakitendeana kwa fadhili na wakiwa na nia ya kutumika badala ya kutumikiwa, basi tunajua kwamba shule imetimiza lengo lake.”
-
-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 202]
Richard Frudd na Philemon Kasipoh, ambao ni walimu wa Shule ya Mazoezi ya Kihuduma, wakizungumza na mwanafunzi
-