-
Wajumbe wa Amani ya Kimungu WakusanyikaMnara wa Mlinzi—1997 | Januari 15
-
-
Mwishoni mwa hotuba ya mwisho ya siku hiyo, “Fuatia Amani ya Kimungu Katika Maisha ya Familia,” wakusanyikaji walipendezwa kupokea kile kitabu kipya, Siri ya Kupata Furaha ya Familia. “Jifunzeni kwa bidii kitabu hiki kibinafsi na mkiwa vikundi vya familia,” akahimiza msemaji. “Jitahidi sana kutumia shauri lacho linalotegemea Biblia, na kwa hakika utaongeza amani na furaha ya familia yako.”
-
-
Wajumbe wa Amani ya Kimungu WakusanyikaMnara wa Mlinzi—1997 | Januari 15
-
-
Uandalizi Wenye Upendo kwa Ajili ya Familia
Waliohudhuria siku ya pili ya Mkusanyiko wa Wilaya wa “Wajumbe wa Amani ya Kimungu” walisisimuka kupokea kile kichapo kipya chenye kichwa Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Kitabu hicho kina habari ya Kimaandiko ambayo itanufaisha familia zote zinazompenda Mungu.
-