-
Matukio Muhimu Ya Mwaka Uliopita2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Pia, mnamo Novemba 28, 2003, Wizara ya Haki ya Georgia iliandikisha kisheria ofisi ya tawi ya Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Hivyo, ingawa mwaka wa 1998 Mahakama Kuu ya Georgia iliamua kupiga marufuku shirika lililotumiwa na Mashahidi wa Yehova, sasa shirika jipya limeandikishwa kisheria na ndugu wanafurahi sana.
-
-
Matukio Muhimu Ya Mwaka Uliopita2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Novemba 28: Wizara ya Haki ya Georgia yaandikisha kisheria ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova.
-