-
“Miujiza” Miwili Kwenye Kusanyiko Moja Huko GeorgiaMnara wa Mlinzi—2007 | Agosti 1
-
-
“Muujiza” wa Pili
Mwishoni mwa kipindi cha Ijumaa (Siku ya 5) asubuhi, wajumbe walishangaa sana wakati mshiriki mmoja wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova, Geoffrey Jackson, alipotangaza kutolewa kwa chapa nzima ya Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Kigeorgia.b
-
-
“Miujiza” Miwili Kwenye Kusanyiko Moja Huko GeorgiaMnara wa Mlinzi—2007 | Agosti 1
-
-
Kuna sababu nyingine iliyofanya kusanyiko la wilaya la Marneuli liwe la pekee sana kwa Mashahidi wa Yehova wa Georgia. Mshiriki wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova alishiriki kwenye programu. Wahudhuriaji wote walisisimka sana hivi kwamba kila mtu alitaka kumkaribisha kwa uchangamfu kulingana na utamaduni wao. Ndugu Jackson alilazimika kusimama na kusalimu ndugu na dada kwa saa nyingi kabla, wakati, na baada ya kusanyiko, lakini alikubali kwa furaha kufanya hivyo.
-