Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Watekelezaji wa Neno la Munngu Hupata Furaha
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Januari 15
    • Baada ya hotuba ya mwisho ya kumalizia siku, “Kutembea Katika Nuru Inayoongezeka ya Neno la Mungu,” wahudhuriaji wa mkusanyiko walifurahi kupokea kitabu kipya, Unabii wa Isaya—Nuru kwa Wanadamu Wote I. Hili ni buku la kwanza kati ya mabuku mawili yanayozungumzia unabii wa kitabu cha Biblia cha Isaya sura baada ya sura. “Kitabu cha Isaya kina ujumbe kwetu leo,” akasema msemaji. Aliendelea kusema: “Naam, unabii wake mwingi ulitimia siku za Isaya. . . . Hata hivyo, unabii mwingi wa Isaya unatimia leo, na mwingine utatimia katika ulimwengu mpya ambao Mungu ameahidi.”

  • Watekelezaji wa Neno la Munngu Hupata Furaha
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Januari 15
    • [Sanduku/Picha katika ukurasa wa 26]

      Unabii wa Isaya—Nuru kwa Wanadamu Wote

      Waliohudhuria mkusanyiko walisisimuka kupokea Buku la I kati ya mabuku mawili ya kitabu Unabii wa Isaya—Nuru kwa Wanadamu Wote. Kichapo hiki kinakazia manufaa yenye kutumika ya unabii wa Isaya katika siku zetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki