-
“Watangazaji wa Ufalme Wenye Bidii” Wakusanyika kwa ShangweMnara wa Mlinzi—2003 | Januari 15
-
-
Kichwa cha hotuba ya mwisho ya siku ya kwanza kilikuwa “Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli.” Hali ulimwenguni ziendeleapo kuwa mbaya zaidi, inachangamsha moyo kama nini kujua kwamba hivi karibuni Yehova ataleta ulimwengu wake mpya wenye uadilifu! Ni nani watakaoishi humo? Ni wale tu wanaomwabudu Yehova. Msemaji alitoa kitabu kipya cha kujifunza Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli ili kutusaidia sisi, pamoja na watoto wetu, na wanafunzi wetu wa Biblia kufikia mradi huo. Tulifurahi kama nini kukipokea!
-
-
“Watangazaji wa Ufalme Wenye Bidii” Wakusanyika kwa ShangweMnara wa Mlinzi—2003 | Januari 15
-
-
[Sanduku/Picha katika ukurasa wa 23]
Msaada Mpya wa Kujifunzia!
Kwenye umalizio wa siku ya kwanza ya kusanyiko, wahudhuriaji walifurahia kutolewa kwa kitabu kipya Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli. Kimekusudiwa kuwa kitabu cha kujifunza na wale ambao wamemaliza kujifunza kitabu Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele. Kwa kweli kitaimarisha imani ya wale ‘walio na mwelekeo ufaao kwa ajili ya uhai udumuo milele.’—Matendo 13:48.
[Hisani]
Image on book cover: U.S. Navy photo
-