Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuchapa na Kugawanya Neno Takatifu la Mungu Mwenyewe
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Tamaa ya Mashahidi wa Yehova ilikuwa zaidi tu ya kutia nakala za Biblia, kitabu chenyewe, mikononi mwa watu. Mashahidi walitaka kusaidia watu wajue jina la kibinafsi, pamoja na kusudi, la mtungaji wacho wa kimungu, Yehova Mungu. Kulikuwa na tafsiri katika Kiingereza—American Standard Version ya 1901—iliyotumia jina la kimungu katika sehemu zaidi ya 6,870 ambazo ilitokea katika vyanzo ambavyo kutoka kwavyo watafsiri walifanya kazi. Katika 1944, baada ya miezi kadhaa ya maafikiano, Watch Tower Society ilinunua haki ya kufanyiza seti za mabamba zenye mambo mengi ya Biblia hiyo kutoka kwa mabamba na maandishi yaliyotolewa na kampuni ya Thomas Nelson and Sons, ya New York. Wakati wa miaka 48 iliyofuata, nakala 1,039,482 zilitokezwa.

  • Kuchapa na Kugawanya Neno Takatifu la Mungu Mwenyewe
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Picha katika ukurasa wa 607]

      “American Standard Version,” tafsiri inayotumia jina la kimungu, Yehova, mara zaidi ya 6,870; chapa ya Watchtower (1944)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki