Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mungu Afanya Agano na Abrahamu
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
    • Katika agano alilofanya pamoja na Abrahamu, Yehova alimwahidi kwamba atamfanya kuwa taifa kubwa, na kwamba familia zote za dunia zitajibariki kupitia kwake, nao uzao wake utaimiliki nchi ya Kanaani.

  • Mungu Afanya Agano na Abrahamu
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
    • Yehova Mungu alimhakikishia Abrahamu baadaye kwamba uzao wake ungeongezeka na kuwa kama nyota za mbinguni. Abrahamu aliamini ahadi hiyo. Hata hivyo, Sara, mke wake mpendwa hakuwa na mtoto. Kisha, Abrahamu alipokuwa na umri wa miaka 99, naye Sara akikaribia umri wa miaka 90, Mungu alimwambia Abrahamu kwamba Sara atapata mtoto. Maneno ya Mungu yalitimia. Sara akamzaa Isaka. Abrahamu alikuwa na watoto wengine, hata hivyo, yule Mkombozi aliyeahidiwa katika Edeni angetokana na ukoo wa Isaka.

  • Mungu Afanya Agano na Abrahamu
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
    • Kupitia maagano mbalimbali, au ahadi takatifu, Yehova alifunua hatua kwa hatua jinsi ambavyo kusudi lake kuhusu Mkombozi aliyeahidiwa katika Edeni lingetimizwa. Agano lililofanywa pamoja na Abrahamu lilionyesha kwamba Yule aliyeahidiwa angekuja kupitia ukoo wa Abrahamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki