Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Siku ya Hukumu ya Mungu—Matokeo Yayo Yenye Shangwe!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Hata hivyo, yeye amempa Yesu Kristo wakala wa kufanya kazi ya kuhukumu: “Baba hahukumu yeyote kabisa, bali yeye ameaminisha Mwana kuhukumu kote.” (Yohana 5:22, NW) Pamoja na Yesu ni washirika wake 144,000, ambao “nguvu za kuhukumu zilipewa kwao . . . kwa miaka elfu moja.” (Ufunuo 20:4, NW) Hata hivyo, viwango vya Yehova ndivyo vinaamua kitakachompata kila mtu mmoja mmoja wakati wa Siku ya Hukumu.

  • Siku ya Hukumu ya Mungu—Matokeo Yayo Yenye Shangwe!
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Katika Gospeli ambayo Yohana aliandika muda mfupi baada ya Ufunuo, Yesu alisema kwa habari ya Baba yake: “Naye akampa [Yesu] amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu. Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. Nao watatoka.” (Yohana 5:27-29)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki