Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 1
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 1

      Mungu anazungumza nasi kupitia Biblia. 2 Timotheo 3:16

      Watu kila mahali wanamsikiliza Mungu. Mathayo 28:19

  • Sehemu ya 2
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 2

      Yehova aliumba kila kitu mbinguni . . . na duniani. Zaburi 83:18; Ufunuo 4:11

  • Sehemu ya 3
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 3

      Yehova aliwapa Adamu na Hawa vitu vingi vizuri. Mwanzo 1:28

      Mungu aliwaambia wasile matunda ya mti mmoja. Mwanzo 2:16, 17

  • Sehemu ya 4
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 4

      Adamu na Hawa hawakumtii Mungu, basi wakafa. Mwanzo 3:6, 23

      Wafu hawana uhai kama vile mavumbi yasivyo na uhai. Mwanzo 3:19

  • Sehemu ya 5
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 5

      Watu wengi katika siku za Noa walitenda mabaya. Mwanzo 6:5

      Noa alimsikiliza Mungu na akajenga safina. Mwanzo 6:13, 14, 18, 19, 22

  • Sehemu ya 6
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 6

      Mungu aliwaharibu waovu lakini akamwokoa Noa na familia yake. Mwanzo 7:11, 12, 23

      Mungu atawaharibu waovu tena na kuwaokoa watu wema. Mathayo 24:37-39

  • Sehemu ya 7
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 7

      Yehova alimtuma Yesu duniani. 1 Yohana 4:9

      Yesu alitenda mema lakini alichukiwa. 1 Petro 2:21-24

  • Sehemu ya 8
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 8

      Yesu alikufa ili tuweze kuishi. Yohana 3:16

      Mungu alimfufua Yesu na kumfanya Mfalme wa Ufalme wa Mungu. Danieli 7:13, 14

  • Sehemu ya 9
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 9

      Matatizo yaliyo duniani yanathibitisha kwamba hivi karibuni, Ufalme wa Mungu utaleta paradiso. Luka 21:10, 11; 2 Timotheo 3:1-5

      Ufalme utaondoa uovu wote. 2 Petro 3:13

  • Sehemu ya 10
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 10

      Watu wengi ambao wamekufa watafufuliwa waishi duniani. Matendo 24:15

      Ufalme wa Mungu utaondoa mateso yote. Ufunuo 21:3, 4

  • Sehemu ya 11
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 11

      Mungu husikiliza sala zetu. 1 Petro 3:12

      Kuna mambo mengi tunayoweza kutaja katika sala. 1 Yohana 5:14

  • Sehemu ya 12
    Msikilize Mungu
    • Part 12

      Upendo ndio siri ya furaha katika familia. Waefeso 5:33

      Uwe mwenye fadhili na mwaminifu, usiwe mkatili au kukosa uaminifu. Wakolosai 3:5, 8-10

  • Sehemu ya 13
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 13

      Epuka mambo mabaya. 1 Wakorintho 6:9, 10

      Tenda mema. Mathayo 7:12

  • Sehemu ya 14
    Msikilize Mungu
    • Sehemu ya 14

      Amua kuwa upande wa Mungu. 1 Petro 5:6-9

      Fanya uamuzi mzuri​—msikilize Mungu. Mathayo 7:24, 25

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki