-
Maeneo Walikoishi Wazee Wa Ukoo‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Baadaye Yakobo (Israeli) mwana wa Isaka na Rebeka alifunga safari ndefu kama hiyo kwenda kumwoa mwabudu wa Yehova. Lakini Yakobo alipitia njia tofauti kidogo alipokuwa akirudi nchini kwao. Baada ya kuvuka Mto Yaboki karibu na Penueli, Yakobo alipigana mweleka na malaika. (Mwa 31:21-25; 32:2, 22-30) Esau alikutana na Yakobo huko, kisha kila mmoja wao akaenda kuishi eneo tofauti.—Mwa 33:1, 15-20.
-
-
Maeneo Walikoishi Wazee Wa Ukoo‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
[Mito na Kijito]
Yaboki
-