Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maeneo Walikoishi Wazee Wa Ukoo
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • Wazee wa Ukoo (katika Nchi ya Ahadi)

      Baada ya Dina binti ya Yakobo kulalwa kinguvu huko Shekemu, Yakobo alihamia Betheli. Je, unajua wana wa Yakobo walisafiri umbali gani kwenda kulisha mifugo ya baba yao, naye Yosefu aliwapata wapi hatimaye? Ramani hii (na ile iliyo kwenye ukurasa wa 18 na 19) inaweza kukusaidia kujua Betheli ilikuwa umbali gani na Dothani. (Mwa 35:1-8; 37:12-17) Ndugu za Yosefu walimwuza kwa wafanyabiashara waliokuwa wakielekea Misri. Unafikiri wafanyabiashara hao walipitia njia gani walipompeleka Yosefu Misri akiwa mtumwa, jambo ambalo liliweka msingi wa Waisraeli kuhamia Misri na baadaye kutoka huko?—Mwa 37:25-28.

  • Maeneo Walikoishi Wazee Wa Ukoo
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • [Babara Kuu]

      Via Maris

      Barabara ya Mfalme

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki