Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matazamio Mazuri Ajabu ya Kibinadamu Katika Paradiso Yenye Ufurahishi
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Agosti 1
    • 13 “Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu; na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.”—Mwanzo 1:26-30.

  • Matazamio Mazuri Ajabu ya Kibinadamu Katika Paradiso Yenye Ufurahishi
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Agosti 1
    • 15, 16. (a) Kwa nini kungekuwako chakula kingi kwa ajili ya jamaa ya kibinadamu? (b) Kwa kadiri ambayo jamaa hiyo yenye furaha ingeongezeka hesabu, kungekuwako kazi gani kwa ajili yao nje ya bustani ya Edeni?

      15 Kungekuwako chakula kingi kwa kila mshiriki wa jamaa hii ya kibinadamu iliyojaza dunia nzima. Hapo mwanzo kulikuwako chakula kingi, kule katika bustani ya Edeni. Mungu alikuwa amewaandalia riziki na kuwapa mboga zote za majani yenye kuzaa mbegu ili yawe chakula chenye kujaa afya, chenye kuendeleza uhai, pamoja na ile miti yenye kuzaa matunda.—Linganisha Zaburi 104:24.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki