Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maoni ya Biblia Kuhusu Uhai na Kifo
    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote)—2017 | Na. 4
    • BIBLIA INAFUNUA UKWELI WA MAMBO

      Simulizi la uumbaji katika kitabu cha Mwanzo linasema hivi: “Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi ya nchi na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai, naye mtu akawa nafsi hai.” Usemi “nafsi hai” unatokana na neno la Kiebrania ne’phesh,a linalomaanisha kiumbe anayepumua.​—Mwanzo 2:​7.

      Hivyo, Biblia inaonyesha waziwazi kwamba mwanadamu hakuumbwa akiwa na nafsi isiyoweza kufa. Badala yake, kila mwanadamu ni “nafsi hai.” Hiyo ndiyo sababu hakuna andiko katika Biblia linalotaja kuhusu “nafsi isiyoweza kufa.”

  • Maoni ya Biblia Kuhusu Uhai na Kifo
    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote)—2017 | Na. 4
    • a Tafsiri nyingine za Biblia kama vile Biblia Habari Njema hutafsiri neno hilo kuwa “kiumbe hai,” Verbum Bible hutafsiri neno hilo kuwa “kiumbe chenye uzima,” na Union version hutafsiri neno hilo kuwa “nafsi hai.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki