Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kitabu Chenye Kutumika Kwa Maisha Ya Kisasa
    Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote
    • Kinyume cha hilo, Biblia hutoa shauri lenye kutegemeka na lenye usawaziko kwa habari ya ndoa. Inakiri kwamba hali fulani za kupita kiasi hufanya talaka iruhusike. (Mathayo 19:9) Wakati uo huo, inalaumu kutaliki kwa sababu zisizo za maana. (Malaki 2:14-16) Inalaumu pia ukosefu wa uaminifu katika ndoa. (Waebrania 13:4) Inasema kwamba ndoa huhusisha kujifunga wajibu: ‘Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.’a—Mwanzo 2:24; Mathayo 19:5, 6.

  • Kitabu Chenye Kutumika Kwa Maisha Ya Kisasa
    Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote
    • a Neno la Kiebrania da·vaqʹ, linalotafsiriwa hapa ‘-shikamana,’ “latia ndani maana ya kuambatana na mtu fulani katika shauku na uaminifu-mshikamanifu.”4 Katika Kigiriki, neno linalofasiriwa “atashikamana” kwenye Mathayo 19:5 linahusiana na neno linalomaanisha “kuunga kwa gundi,” “kuunga kwa saruji,” “kuunganisha pamoja ndindindi.”5

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki