Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jinsi Ulimwengu Huu Utakavyofikia Mwisho Wake
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Septemba 15
    • 15. Baada ya ­Har–​Magedoni, itakuwaje kwa Shetani na roho wake waovu?

      15 Kwanza, Shetani atashuhudia tangu mwanzo hadi mwisho tengenezo lake lote duniani likiangamizwa. Kisha, Shetani mwenyewe ataelekezewa fikira. Mtume Yohana anaripoti kinachofuata. (Soma Ufunuo 20:​1-3.) Yesu Kristo, ambaye ni “malaika . . . mwenye ufunguo wa abiso,” atamshika Shetani na roho wake waovu na kuwatupa ndani ya abiso, kisha atawafungia humo kwa miaka elfu moja. (Luka 8:​30, 31; 1 Yoh. 3:8) Tendo hilo ni hatua ya kwanza ya kukiponda kichwa cha yule nyoka.d​—⁠Mwa. 3:15.

  • Jinsi Ulimwengu Huu Utakavyofikia Mwisho Wake
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Septemba 15
    • d Kichwa cha yule nyoka kitapondwa kwa mara ya mwisho baada ya ile miaka miaka elfu moja wakati Shetani na roho wake waovu wanapotupwa ndani ya “lile ziwa la moto na kiberiti.”​—⁠Ufu. 20:​7-10; Mt. 25:41.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki