Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ukweli Kuhusu Simulizi la Uumbaji
    Amkeni!—2014 | Machi
    • MUNGU ALITUMIA MUDA GANI KUUMBA ULIMWENGU?

      Saa

      Biblia inasema kwamba Mungu aliumba “mbingu na dunia.” Maneno hayo yenye maana pana hayataji kipindi kilichohusika kuumba ulimwengu wote au njia iliyotumiwa kuutokeza. Namna gani madai ya wanauumbaji wanaosema kwamba Mungu aliumba ulimwengu kwa siku sita zenye urefu wa saa 24 kila moja? Wazo hilo linalopingwa vikali na wanasayansi linategemea ufafanuzi usio sahihi kuhusu simulizi hilo la Biblia. Acheni tuchunguze yale ambayo Biblia inasema.

      Biblia haiungi mkono watu wenye imani kali wala wanauumbaji wanaodai kwamba dunia iliumbwa kwa siku sita zenye urefu wa saa 24 kila moja

  • Ukweli Kuhusu Simulizi la Uumbaji
    Amkeni!—2014 | Machi
      • MWANZO

        Kuumbwa kwa mbingu na dunia.​—Genesis 1:1.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki