-
Unabii Ni Nini?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Kupitia malaika. Kwa mfano, Mungu alitumia malaika kumletea Musa ujumbe ambao alipaswa kumpelekea Farao wa Misri. (Kutoka 3:2-4, 10) Wakati ambapo maneno hususa yalikuwa muhimu, Mungu aliwaongoza malaika wamwambie mtu maneno hususa ya kuandika, kama alivyofanya alipomwambia Musa hivi: “Jiandikie maneno haya, kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”—Kutoka 34:27.a
-
-
Unabii Ni Nini?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
a Ingawa huenda katika mfano huu ikaonekana kwamba Mungu alizungumza na Musa moja kwa moja, Biblia inaonyesha kwamba Mungu alitumia malaika kupitisha agano la Sheria ya Musa.—Matendo 7:53; Wagalatia 3:19.
-