Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Unabii Ni Nini?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
      • Kupitia malaika. Kwa mfano, Mungu alitumia malaika kumletea Musa ujumbe ambao alipaswa kumpelekea Farao wa Misri. (Kutoka 3:​2-4, 10) Wakati ambapo maneno hususa yalikuwa muhimu, Mungu aliwaongoza malaika wamwambie mtu maneno hususa ya kuandika, kama alivyofanya alipomwambia Musa hivi: “Jiandikie maneno haya, kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”​—Kutoka 34:27.a

  • Unabii Ni Nini?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • a Ingawa huenda katika mfano huu ikaonekana kwamba Mungu alizungumza na Musa moja kwa moja, Biblia inaonyesha kwamba Mungu alitumia malaika kupitisha agano la Sheria ya Musa.​—Matendo 7:​53; Wagalatia 3:​19.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki