Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Taifa Laokolewa na Mungu Lisiangamizwe
    Mnara wa Mlinzi—1986 | Machi 15
    • Sauti za shangwe zinatokea kati ya Wayahudi! Kwa kuwa wao si mawindo hoi tena, sasa wana miezi kadha ya kutengeneza utetezi wao. Mwishowe, tarehe ya 13 ya mwezi Adari (Februari-Machi) inafika. Watu kama 75,000 ‘waliowachukia’ wanauawa na Wayahudi. Ili wasije wakasahau kwamba ushindi huo uliletwa na Yehova, Mordekai anatoa amri kwamba Sikukuu ya Purimu ya kila mwaka ifanywe tarehe 14 na 15 za mwezi Adari.

  • Taifa Laokolewa na Mungu Lisiangamizwe
    Mnara wa Mlinzi—1986 | Machi 15
    • ◆ 9:10, 15, 16—Kwa sababu gani Wayahudi hawakuteka nyara?

      Amri ya mfalme iliwapa mamlaka ya kuteka nyara. Lakini, kukataa kwao kufanya hivyo kulionyesha wazi kwamba kusudi lao lilikuwa kujihifadhi wenyewe, wala si kujitajirisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki