Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Waangalieni kwa Makini Ndege”
    Amkeni!—2014 | Agosti
    • Mara nyingi Biblia huwataja ndege ili kutufundisha masomo muhimu. Kwa mfano, kuhusu mwendo-kasi wa mbuni, Mungu alimwambia Ayubu hivi: “Wakati anapopiga-piga mabawa yake juu, yeye humcheka farasi na mpandaji wake.”a (Ayubu 39:13, 18) Pia, Mungu alimuuliza Ayubu: “Je, ni kwa sababu ya uelewaji wako kwamba kipanga hupaa juu, . . . au, je, ni kwa agizo lako kwamba tai huruka kuelekea juu?” (Ayubu 39:26, 27) Tunajifunza nini? Ndege wanafanya mambo makubwa bila msaada wetu. Uwezo wao unaonyesha hekima ya Mungu, bali si yetu.

  • “Waangalieni kwa Makini Ndege”
    Amkeni!—2014 | Agosti
    • a Mbuni ndiye ndege mkubwa zaidi, na hukimbia kwa kasi sana, akiwa na uwezo wa kukimbia kilomita 72 hivi kwa saa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki