Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Alimponya Maumivu Yake
    Igeni Imani Yao
    • Haishangazi kwamba Yehova alifanya wanaume hao wawajibike. Walipaswa kutoa dhabihu ya fahali saba na kondoo-dume saba—gharama kubwa, kwa sababu baadaye katika Sheria ya Musa, kuhani angetoa dhabihu ya fahali ikiwa dhambi yake ilileta hatia juu ya taifa lote. (Mambo ya Walawi 4:3) Hiyo ndiyo dhabihu iliyokuwa na gharama ya juu zaidi kati ya dhabihu zilizotajwa katika Sheria. Isitoshe, Yehova alisema kwamba angekubali dhabihu ya wanaume hao ikiwa Ayubu angesali kwanza kwa niaba yao.d (Ayubu 42:8) Ayubu alifarijika sana kutetewa na Mungu na kuona haki ya Yehova ikishinda!

      ”Mtumishi wangu Ayubu atasali kwa ajili yenu.”—Ayubu 42:8

  • Yehova Alimponya Maumivu Yake
    Igeni Imani Yao
    • d Hakuna sehemu yoyote inayoonyesha kwamba Ayubu alipaswa kutoa dhabihu kama hiyo kwa niaba ya mke wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki