-
Wakristo Wanapaswa Kuwa na Maoni Gani Kuhusu Kileo?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
1. Je, ni kosa kunywa kileo?
Biblia haikatazi kunywa kileo. Badala yake, kati ya zawadi nyingi ambazo Mungu ametupatia, Biblia inataja “divai inayofanya moyo wa mwanadamu ushangilie.” (Zaburi 104:14, 15) Baadhi ya wanaume na wanawake waaminifu wanaotajwa katika Biblia walikunywa kileo.—1 Timotheo 5:23.
-
-
Kwa Nini Unapaswa Kujiweka Wakfu na Kubatizwa?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
4. Tafakari upendo ambao Yehova amekuonyesha
Yehova ametupatia zawadi nyingi zenye thamani. Tunaweza kumpatia nini? Onyesha VIDEO.
Yehova amekuonyesha kwa njia gani kwamba anakupenda? Soma Zaburi 104:14, 15 na 1 Yohana 4:9, 10, kisha mzungumzie maswali haya:
Ni zawadi gani kutoka kwa Yehova ambazo hasa zinakuchochea kumshukuru?
Zawadi hizo zinafanya uhisije kumhusu Yehova?
Tunapopokea zawadi ambayo tunaipenda, tunachochewa kumwonyesha shukrani yule aliyetupatia zawadi hiyo. Soma Kumbukumbu la Torati 16:17, kisha mzungumzie swali hili:
Unapofikiria mambo yote ambayo Yehova amekufanyia, unachochewa kufanya nini?
-